El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai
El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai
El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

He is an awesome God
Amenipa such an awesome song
And I'm never lonely
Amenipa such an awesome love

He is an awesome God
And I wanna tell it to the world
Ili wajue ni wewe
Kama si wewe basi Nani
Naskia landlord-i
Ako Kwa njia anataka kodi
Ni wewe utaprovide
Na nina ngori moyoni zinanijaza worry
Ila nitakuwa fine

El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai
El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai
El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

Every day
Every day
Is an awesome day
Na vile Unanibariki
Hata Mimi sielewi

And everyday everyday
You come through in an awesome way
Hakuna dhiki
Nimepata rafiki
Rafiki wa kweli
Na kuna ka-loan mahali
Kalinijaza worry
Ni wewe utaprovide
Nina-mahari natamani kulipia mpenzi
Sote tutakuwa fine
Na madaktari wanasema hali sio hali
Wewe unajua time
Nahisi nguvu Zako kwangu
I will call you El Shaddai

El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

Dear Lord,
Grant me the serenity
To accept
The things I cannot change
The courage to choose the things I know I can
And the wisdom
To know the difference

El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai
Uko na kile me nadai
Ulinipenda hata Kama me sifai

El Shaddai
El Shaddai
El Shaddai

Comments (0)